Sekretarieti ya Ajira

Kati ya taasisi ambayo inaongoza kwa kuwa na viewerz wengi ni ya ajira na muhimu kwa watanzania wengi kwasababu janga kubwa lakila mtanzania ni ajira lakini hii taasisi waga kuna wakati hadi inawakera watanzania je.. unataka kujua kwanini kuna kauli wanasema ukiwa kwenye ajira mtu ambaye ajapata ajira unamtesa sana ndio hawa jamaa bhana kuna kitu hiii taasisi inakosea sana kila ukibahatika kuitwa kwenye interview ukae ukijua kama huko mbali na dar es salaam lazima utumie gharama ya usafir kuja hadi dar haijalishi utapata kazi au upati wakati wangeweka branch ingalikuwa easy sana kwa watanzania sasa piga hesab mfano mmeitwa 700 kwenye interview mia 500 kati yao wanatoka nje ya dar na kaz nafas ni 10 au 100 tu nazeni unarudi nyumban unasikia umeitwa tena kwenye interview je ww kwa hali yasasa unaweza kutoka kagera hadi da twice in one month jaman watanzania mnawachosha ongezen branch zenu katika kila mikoa mkishindwa muwaajili wakitoka vyuoni moja kwa moja kwani tcu na nacte wanakazi gani zaid ya kuakikisha ubora wa vyuo nakila mwanafunzi ni bora mpaka wote muwe mnawaita kwenye interview inamaana mnawazalilisha nacte kuwa wanafunzi wao sio bora

Comments

Popular posts from this blog

Barabara ya Vingunguti kwa Mnyaman