Posts

Showing posts from 2017

Ajira za Tanzania na Asilimia Tano ya Vijana

Image
Binafsi waga nachukia sana kwa kauli za mawaziri wetu wa Tanzania kipindi wako bungeni nakusema wizara imehamua mwaka huu wa fedha itawaajiri wataalamu either wa afya au wa fedha mfano watasema 2200 had 3000 lakin mpaka mwaka hunaisha posts za ajira kwa watanzania za kazi hata mia hazifiki sasa unaweza kukuta bajeti ilipita na ela ya kuwaajiri hao watu ilitolewa wewe kama mwananchi utajiuliza hiyo ela hinaenda wapi lakini viongozi wajuu hata wasioji hilo unasikia tu bajeti ya tanzania ni tilioni  kazaaa  ucjue hata inatumikaje au ili swala la asilimia 5 za vijana cjawahi hatakuonaga hata wanatoa elimu ya ukimwi tu huku kwetu namimi nipo mjini sasa na hao wavijijini je inakuwaje kila siku tunaitwa kwenye vikao vya vyama tu sio vya maendeleo hii ni stupidit kazi hakuna, any support from our government hakuna waga najiuliza hivi Mr President wanakurudishiaga ripoti gani huko kwako hao wanao zichukua hizo ela za bajeti naje? Kwanini siku usichague njia za mitaani hupite ukaacha ku...

Sekretarieti ya Ajira

Image
Kati ya taasisi ambayo inaongoza kwa kuwa na viewerz wengi ni ya ajira na muhimu kwa watanzania wengi kwasababu janga kubwa lakila mtanzania ni ajira lakini hii taasisi waga kuna wakati hadi inawakera watanzania je.. unataka kujua kwanini kuna kauli wanasema ukiwa kwenye ajira mtu ambaye ajapata ajira unamtesa sana ndio hawa jamaa bhana kuna kitu hiii taasisi inakosea sana kila ukibahatika kuitwa kwenye interview ukae ukijua kama huko mbali na dar es salaam lazima utumie gharama ya usafir kuja hadi dar haijalishi utapata kazi au upati wakati wangeweka branch ingalikuwa easy sana kwa watanzania sasa piga hesab mfano mmeitwa 700 kwenye interview mia 500 kati yao wanatoka nje ya dar na kaz nafas ni 10 au 100 tu nazeni unarudi nyumban unasikia umeitwa tena kwenye interview je ww kwa hali yasasa unaweza kutoka kagera hadi da twice in one month jaman watanzania mnawachosha ongezen branch zenu katika kila mikoa mkishindwa muwaajili wakitoka vyuoni moja kwa moja kwani tcu na nacte wanakazi gan...

Davido_fall Official video

Image

Teknomiles_Diana Official video

Image

Abdukiba ft Alikiba_Single Official video

Image

Shine MC ft Ney wa Mitego Tungi Official video

Image

Barabara ya Vingunguti kwa Mnyaman

Image
Barabara ya vingunguti kwa mnyamani ni barabara inayo pitisha magari zaidi ya 5000 kwa siku moja lakini nimoja kati ya barabara ambayo serikali imeifumbia macho kama hawaoni jinsi gani watanzania wanavyo pata shida hii barabara wanazidi kuiongezea idadi ya magari yanayo tokea tabata kimanga nayo yaweze kupita kwenye barabara hiyo pasipo kuiongezea ubora barabara hiyo halafu eti wanasema mkuu wa mkoa alitembelea vijiji vyote katika wilaya ya ilala sasa alitembea ili afanye nini hikiwa tatizo aliliona na hakulifanyia kazi naweza kusema barabara hii ina kl 2 au 3 lakin ukipanda gar unaweza kutumia masaa manne kutoka vingunguti hadi bugurun je daradara wakisema hawataki kupita hiyo njia wanataka main road mtawakataza mkuu wa mkoa Mh.P.Makonda embu angalia tatizo ili kwasababu wabunge na madiwan wako atuoni wanacho fanya kwenye njia hiii sitachoka kukukumbushia swala hili mpaka ulifanyie kazi tunajua always kuwa uongozi ni hutumwa na ni wito pia basi tumikia wananchi wako juu ya swala hili ...

Barabara ya kwa mnyamani

Image

Barabara ya Kwa Mnyamani

Image

Harmonize ft Sam waukweli

https://youtu.be/vw28evNEcS0

Rayvan_kwetu official video

Image

Queen doreen_kijuso official video ft rayvan

Image

Rayvan _Mbeleko official video

Image

Alikiba_Lupela official video

Image

Patoranking_Love die official video ft Diamond platnumz

Image

Kicimple Jr

Image
Maisha bhana nimagumu but usije ukafanya vitu vibaya ili ufanikiwe kwasababu baadae ndio yatakuwa mabaya zaid ya sasa

Rich mavoko_Imebaki story official video

Image

Justin B

Image

Queen doreen Kijuso ft Rayvann official video

Image

Weusi Nicome official video

Image

Barabara za Vingunguti

Barabara ya kutoka buguruni kupitia kwa mnyaman kuja vingunguti kizota yazidi kualibika kila siku bila serikali kuchukua hatua yeyote wananchi wamezidi kulalamika juuu ya barabara hiyo ipatayo kama kilometa mbili na inavyo semekana chanzo cha hiyo barabara kuaribika ni mabomba ya maji yaliyopo chini ya barabara hiyo